Header Ads

test

UZINDUZI WA FILAMU YA WEMA SEPETU - SUPERSTAR



Wema Sepetu "Superstar"
                       

Chalz Baba na Steve Nyerere walikuwepo kutoa sapoti kwa msanii mwenzao

B dazen na wezake nao
Barnaba akiwa na Dida, Shilole na Mainda



Wanamuziki AY na MwanaFA walikuwa ni baadhi ya wasanii wachache wa Bongo Fleva waliobahatika kuwepo kwenye usiku wa Wema Sepetu

Miriam Odemba akifanyiwa interview na Shadee

Shaa akifanyiwa mahojiano na Shadee wa Clouds TV

Mwanamuziki Shaa nae alikuwepo

Ray Kigosi na Richie walikuja kumsapoti Wema
Wema Sepetu akiwa na Mange Kimambe na Miriamu Odemba wakimsubiri Omotola Jalade kutoka Nigeria uwanja ndege Mwalimu JK Nyerere.
Mgeni akawasili - Mwigizaji wa Nigeria Omotola Jalade akiwasili uwanja wa ndege wa JK Nyerere alfajiri hii.

Wema Sepetu na Omotola wakiondoka Uwanja wa Ndege baada ya Omotola kuwasili kutoka Nigeria.

Omotola akiwa na Miriam Odemba



Picha zote kwa hisani ya Babkubwa magazine