Jinsi ninavyo mfeel huyu jamaa Vodacom in Moro` ilikuwa hivi
| Akiutizama mji wa moshi kwa umakini ili arudi Dsm |
| BBM na Twitter kama kawaida. |
| Sikilizeni niwaambie wasafi wangu hii show sio ya kitoto fanyeni kweli. |
| Ommy Dimpozi wakisalimiana: |
| Dimpozi & Platnumz |
| Diamond na Fans wake |
| Mida ya kazi sasa utani pembeni.... |
| Nimpende nani? |
| Mnasemaje nimpende nani? au nimewasikia vibaya? |
| B12 & Zero Eti raia wanasema nimpende yule dada mwenye.....? |
| Fans |
| Nawaogopa sana watoto wa mjini wasije wakaniliza..... |
| Fans |
| Eti nani amenuna? Nauliza nani amenuna? Baaaaaaaasi! |
| New style |
| ''Nimemaliza'' |
| Baada ya kazi vijana wakijipongeza |
| Mmmmh! Mdogo wangu vp mbona umeninunia |
| Ona jini kisirani kaingia kwenye utamu wa penzi langu! |
| B12 hii show ilikuwa tayt Weeeeeeeh! |
| |
| Fans wakilichungulia gari walilopanda akina Diamond plaitunumz |
| Kimenuka tayari ngoja niamke niwasalimie yaishe.... |
Kwa hisani ya diamond platinumz blog
Post a Comment