Licha ya kumthamini kama shilingi lakini bahati sina.....
Watoto wa kike ukipiga uno wanafuraaaaahiiii
Nimpende nani Eeeeh!?

|
akiwa anatunzwa
|

|
Noti zikimiminika kwenye jukwaa la Platnumz......
|

|
JB akimimina pesa huku Diamond platinumz analia na moyo wake.....
|

|
Ila watu wa moshi walitisha sana kwa kutunza...
|

|
Vijanawa Diamond bwana wanakuaga fasta kwenye kuchkua mpunga show wakimaliza show tu.
|

|
chumba alichofikia diamond
|

|
akiwa kwa bed kabra ya shoo kuanza
|

|
Babu eeeh kaz na dawa
|

|
Timu nzima ya Bongo Movie haikuwa nyuma ikiongozwa na JB....
Miguu ya bia sasa pale kati Mmmmmh! Wakubwa wanafaidi
|

|
Irene Uwoya akitoa shavu kwa Mashabiki,alipendeza eeeeh!?
|

|
Snura akitema cheche kwa raia.......Nyerere pembeni kama anamtamani hiv
|

|
Rich Rich kama kawa hakukosa....
|

|
Steve Nyerere akimkaribisha JB kusema na FANS......
|

|
Steve Nyerere akimkaribisha Ray Kigosi Jukwaani
|

|
Haka kajamaa bwana kana makeke sana yaani nikimuonaga tu lazma nicheke
|

|
Mc alikua ni Masanja Mkandamizaji
|

|
mnh! Masanja huu uMC wako sasa umezidi..
|
Post a Comment